JINSI YA KUTUMIA ACCOUNT MBILI ZA WHATSSAP KWENYE SIMU MOJA.

Leo nitatoa maelekezo mafupi ambayo yatakuwezesha kutumia whatsapp mbili kwenye simu yako.

Fata hatua zifuatazo…

Hatua ya kwanza.
Download App inayoitwa parallel space kwenye play store

Hatua ya pili.
Kama simu yako ni line moja basi weka line nyingine ambayo unataka iwe whatsapp yako ya pili

Hatua ya tatu.
Install application uliyo download kwenye Step 1(parallel space )., kisha ifungue.

Hatua ya nne

Utakapofika kwenye kipengele kinachotaka kuweka number ya simu hapo utaweka namba yako ya pili ili uweze kuwa na whatsapp mbili

Hatua ya tano.

Utaendelea na Steps za kawaida kama ulivyojiunga na whatsapp ya kwanza.
Mpaka hapo utakuwa umefanikiwa kuweka na kuanza kutumia whatsapp mbili kwenye simu moja.

No comments

TUFATILIE TWITTER

Powered by Blogger.