ANGEL BERNAD ACHAGULIWA KUWANIA TUZO YA MUIMBAJI BORA WA KIKE AFRIKA, BOFYA HAPA KUMPIGIA KURA


Muimbaji wa nyimbo za injili hapa Tanzania mwanadada Angel Benard amechaguliwa katika tuzo za Ami Awards Afrika kupitia wimbo wa 'Siteketei' katika kipengele cha muimbaji bora wakike (best gospel female artist).

Kumpigia kura nenda katika link hii http://www.amiawardsafrika.com/ kisha nenda katika kipengele cha best gospel female kisha chagua Angel kisha weka email yako na u submit.


Kupitia ukusa wake wa Instgram Angel ameelezea kufurahishwa na kushiriki tuzo hizo huku akisisitiza na kuomba kumpigia kura kupitia link hiyo hapo juu.

"Nimechagulia katika ami awards kupitia wimbo wa SITEKETEI katika kipengele cha bestgospel female artist, Naomba support yako, unaweza vote kwa kufuata link" ameandika Angel Bernad.


Sanjari na hayo siku ya jana Angel alitangaza kutoa wimbo mpya hivi punde akiwataka wadu wa nyimbo za injili kukutaa tayari kwa kupokea kazi hiyo.

No comments

TUFATILIE TWITTER

Powered by Blogger.