Jackson Benty Amwandikia Ujumbe Huu John Lisu

Jackson Bent.
Muimbaji mashuhuri wa nyimbo za injili Tanzania Jackson Benty Ni Mtunzi Mzuri sana Wa Nyimbo Zake Na Utofauti Wa Sauti Yake Hivi Vyote Vimemletea Umaarufu sana Katika Tasnia Ya Muziki Wa Injili Afrika Mashariki.

Benty Kupitia Account Yake Ya Facebook amemua Kumwandikia Ujumbe Huu Muimbaji Wa Gospel Mashuhuri John Lisu Ujumbe huo ni Huu Hapa,

“Ndugu yangu,kazi yako ni njema sana.Tayari umeshakuwa alama kubwa ya utoaji dhabihu za sifa ndani na nje ya nchi.Songa mbele na ufanikiwe zaidi na zaidi mtu mwema uliyebarikiwa na Bwana.”

John Lissu.

No comments

TUFATILIE TWITTER

Powered by Blogger.